TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, August 4, 2015

Picha: Hivi ndivyo ilivyokuwa ndoa ya wakala wa Ronaldo, mastaa waliohudhuria. 

Hatimaye wakala namba moja wa wanasoka bora ulimwenguni, Jorge Mendes jana alifunga ndoa na mchumba wake wa siku, Sandra Barbosa.
 
Sherehe ya ndoa ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa soka ulimwenguni, huku Cristiano Ronaldo, mteja mkuu wa Mendes akiwa ‘mpambe rasmi’ wa bwana harusi.

Cristiano Ronaldo akiingia kanisani

Wageni waalikwa wengine walikuwa ni kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson, Raisi wa Real Madrid, Florentino Perez, James Rodriguez, Jose Bosingwa na Deco De Souza pamoja na Pepe.
Mwanasoka Pepe wa Real Madrid nae alikuwepo
 
Mchezaji wa zamani wa Chelsea na Barcelona Deco De Souza
  
James Rodriguez wa Real Madrid nae alihudhuria
 
Bwana Harusi Jorge Mendes
  
Jose Bosingwa – mchezaji wa zamani wa Chelsea
 
Rais wa Real Madrid Florentino Perez
  

No comments:

Post a Comment