TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, August 4, 2015

Sababu iliyofanya Wayne Rooney kuchezea Everton August 2 hii hapa

_84630948_roo-2
Mshambuliaji na nahodha wa Manchester United Wayne Rooney amewahi kuchezea klabu ya Everton ya Uingereza kabla ya mwaka 2004 kuhamia katika klabu ya Manchester United kwa ada ya uhamisho ya pound milioni 25, akiwa na Everton Rooney aliichezea mechi 77.
r1
Rooney amerejea tena August 2 katika jezi ya Everton na mtu aliyemsababisha avae jezi hiyo ni Duncan Ferguson ambae ni mchezaji wa zamani wa Everton aliyewahi kuchezea klabu hiyo mwaka 2000-2006. Duncan ni miongoni mwa wakongwe waliocheza na Rooney katika klabu hiyo na uliandaliwa mchezo wa heshima kwa ajili yake licha ya kuwa alistaafu toka mwaka 2006.
Duncan-Fergusons-Testimonial
Mbele ya mashabiki 34,718 ambao walitoa heshima kwa Rooney kwa kusimama wakati anaingia uwanjani dakika 15 za mwisho katika mchezo wa Everton wa kirafiki dhidi ya klabu ya Villarreal ambao waliibuka na ushindi wa goli 2-1, kitu ambacho huwa ni ishara ya kuheshimika sana kama Uwanja mzima umesimama kwa ajili ya kumpa heshima Rooney ya kurejea tena Goodson Park baada ya miaka 11.
2015-08-03_spo_11649336_I1
Duncan ambae ndiye mlengwa wa mchezo huo aliingia uwanjani dakika 7 za mwisho.
Hapo chini nimekusogezea picha Wayne Rooney na Duncan Ferguson walipokuwa wanacheza pamoja zaidi ya miaka 1o iliyopita 
2AB3551E00000578-0-image-m-4_1437408254974
2AB354F200000578-0-image-a-1_1437408233567
00746F2C00000258-0-image-a-6_1437407822849

No comments:

Post a Comment