TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, December 19, 2013

WACHEZAJI RAJA CASABLANCA WAGOMBEA VIATU VYA RONALDINHO 

 article-0-1A2FF25400000578-150 634x4321 97f14

Wachezaji wa Casablanca wakisaka viatu vya Ronaldinho (HM)
article2 6bf4e
article3 9fcaa
MARA tu baada ya kutolewa katika Klabu Bingwa ya Dunia a FIFA, wazi Ronaldinho alitaka kurejea chumba cha kubadilishia nguo cha Atletico Mineiro kujiliwaza.
Lakini alilazimika kubaki uwanjani baada ya kuvamiwa na wachezaji wa Raja Casablanca, waliomsalimia na kumuomba viatu vyake vya Nike!
Timu hiyo Morocco iliendeleza wimbi lake la ushindi nyumbani kwa ushindi wa mabao 3-1, wakimtoa nishai Mbrazil huyo ambaye alifunga bao zuri la mpira wa adhabu- katika jitihada zake za kushinda taji hilo kwa mara ya kwanza tangu alipofika fainali akiwa na Barcelona mwaka 2006. Chanzo: binzubeiry

No comments:

Post a Comment