Jinsi mastaa walivyosherekea sikukuu ya Christmas na familia zao

Kila mtu huwa anapenda kusherekea Christmas na familia yake ndiyo maana watu wengi husafiri kurudi kwao kwa ajili ya kipindi hiki cha sikukuu.
Hata mastaa na wameacha kazi zao zote na kuzikumbuka familia zao, Rihanna alisafiri hadi kwao Barbados kuungana na familia yake kwa ajili ya kipindi hiki.
Hizi hapa ni baadhi ya picha ya jinsi mastaa mbalimbali walivyosherekea Christmas na familia zao.

Rihanna na babu yake


Justin Bieber

Miley Cyrus

Future na mpenzi wakeCiara

Wiz Khalifa na mwanae

Keri Hilson na Sergie Ibaka


Tyga na Black Chyna

Swizz Beats, Alicia Keys na mtoto wao
![]() |
Ciara na mama yake |
Ja Rule
No comments:
Post a Comment