TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Sunday, February 2, 2014

ARSENAL YAITANDIKA CRYSTAL PALACE 2-0 

afc_14387.jpg
Washika bunduki wa London maarufu kama ''the gunners'' wameitandika timu ya crystal palace magoli 2-0 katika mchezo wa ligi kuu ya England uliochezwa Jumaapili katika uwanja wa Emirates Stadium, magoli hayo ya Arsenal yalifungwa na Alex Oxlade-Chamberlain, kwa matokeo hayo Arsenal ipo kileleni katika msimamo wa ligi hiyo kwa kuwa na pointi 55, wakati timu hiyo bado ikisubiri mchezo kati ya Manchester city na Chelsea utakaochezwa leo hii katika uwanja wa ''Etihad Stadium'' ili kumpata kinara atakesimama kileleni kwa pointi nyingi zaidi, Arsenal imeizidi timu ya Manchester City pointi mbili tu hivyo kama Manchester city watashinda, Arsenal itashika nafasi ya pili katika msiamo kwa kuwa Manchester City itakuwa na pointi 56.

No comments:

Post a Comment