Mastaa wa tennis duniani nao wanamiliki hii mijengo ya kifahari…Pichaz 
Mchezo Tennis ni miongoni mwa michezo inayopendwa sana hasa kwa nchi zilizoendelea ukiachana na mpira wa miguu..
Kuna mastaa wengi wamefanikia kwa kiasi kikubwa kupitia mchezo huo 
ambapo mbali ya utajiri mkubwa walionao kupitia mishahara na makampuni 
wanayotangaza, pia wamewekeza zaidi katika majumba ya kifahari kama 
walivyo wachezaji wa soka na wengine.
Hii ni mijengo ya baadhi ya mastaa wa mchezo wa Tennis

Hii ni nyumba ya Roger Federer ipo Switzerland
 

Mjengo wa Andre Agassi upo katika mji wa Tiburon, Carlifonia
 

Andy Murrary anaishi hapa
 

Nyumba ya Serena na Venus Williams ipo West Palm Beach, Florida
 

Hii ndio nyumba anayomiliki Rafael Nadal 
 

Mjengo wa Maria Sharapova ipo Carlifonia
 

Mjengo anaomiliki Anna Kournikova ipo Miami
 

Mjengo wa Novak Djokovic ipo Ujerumani
 

Nyumba ya Pete Sampras
 
 
No comments:
Post a Comment